Breaking News

Your Ad Spot

May 23, 2016

SHIGONGO AIFARIJI FAMILIA YA MWANDISHI NGULI WA HABARI ZA UCHUNGUZI, MAKONGORO OGING'

 Mkurugenzi wa kampuni ya Global Publisher, wachapishaji wa magazeti pendwa ya udaku, likiemo gazeti la Ijumaa, Bw. Eric Shigongo, (kushoto0, akiteta jambo na Mhariri mwandamizi wa kampuni hiyo, Bw. Elvan Stambuli, wakati Shigongo alipofika nyumbani kwa marehemu, Makongoro Oging' huko Tabata Magengeni jijini Dar es Salaam, Jumatatu Mei 23, 2016. Marehemu Makongorio alikuwa mwandishi mwandamizi wa habari za uchunguzi wa kampuni hiyo, ambapo kupitia "kalamu" yake ameweza kusaidia jamii iliyodhulumiwa haki zake, kufichua uovu ndani ya jamii, alifariki kutokana na maradhi mwishoni mwa wiki iliyopita.
 Waombolezaji wakiwa msibani

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages