Breaking News

Your Ad Spot

May 24, 2016

WAKABAJI 14 UFUKWENI MWA BAHARI YA HINDI KUSHIKILIWA NA POLISI DAR ES SALAAM

 Askari akilinusa chupa la plastiki na kugundua ni chupa iliyojaa gongo (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

 kibanda kikiteketea kwa moto walipokua wakilala vijana hao wanao jihusi



 Askari hao wakati walipo kua katika msako wakimkuta mwanamke amelala na kusimlia kua ametolewa  manzese
 kisima kilichopo eneo hilo
 Kibanda kikiwaka moto walichokua wakilala
 Askari wakishangaa kwa kuona vifuko ya bangi wakati wa msako wa wahalifu uliofanywa na Askari hao na kujionea vitu vyenye ncha kali, misokoto ya madawa ya kulevya, machupa ya gongo, mipira ya kiume,

Baada ya moja ya kibanda kuchomwa moto, wanaodaiwa kuwa niwahalifu na wabakaji waliwa wanafanya mipango kujenga tena eneo hilo 

 Furushi la bangi likionyeshwa na mmoja wa Askari hao kwa mwandishi

 Kete zikionyeshwa na mmoja wa Askari hao kwa mwandishi

Baadhi ya wananchi wakiangalia wakati Askari wakiwadhibiti wahalifu hao

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages