Breaking News

Your Ad Spot

Jun 21, 2016

KESI YA UCHAGUZI MKUU 2015 YA ALIYEKUA MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE YAANZA KUSIKILIZWA MFULULIZO MAHAKAMA KUU YA TANZANIA

 Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (kulia) akiwa na wafuasi wake katika chumba cha mahakama kabla ya kuanza kusikilizwa kesi hiyo kipindi cha mchana, ambapo asubuhi iliahirishwa kutokana na mvutano wa vifungu vya sheria kuto kubaliana kwa mawakili wa pande zote na ndipo Mh. Jaji kutoa mwanya kwa mawakili hao kujadiliana na kurudi tena kusikiliza saa 8 mchana. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Wafuasi hao wakisikiliza kwa makini
 Mama

 Mtemvu akizungumza jambo na Katibu Mwenezi wa Miburani, Ally Kamtande (wa pili kushoto) mara baada ya kutoka katika chumba cha Mahakama kuu ya Tanzania

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages