Mmoja wa washiriki wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa TANAPA na Wahariri na Waandishi wa Habari Waandamizi kutoka vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya Kijamii zikiwemo Blog, Jesse Kwayu, akiuliza swali, wakati wa mkutano huo, uliokuwa ukiendelea leo katika ukumbi wa VETA, mkoani Morogoro. Mkutano huo ambao unahusu kupanua uelewa kwa wanataaluma hao kuhusu shughuli za TANAPA, ulianza jana.
Washiriki wakiwa ukumbini wakati wa mkutano huo leo
Washiriki wakiwa ukumbini wakati wa mkutano huo leo
Washiriki wakiwa ukumbini wakati wa mkutano huo leo
Baadhi ya wahariri wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi wakati wa mapumziko ya mkutano mkuu wa mwaka wa TANAPA na wahariri na waandishi wa habari waandamizi, ulipokuwa ukiendelea leo katika ukumbi wa VETA mkoani Morogoro. Mkutano huo umeandaliwa na TANAPA. Kutoka kushoto ni Salehe kutoka Tanzania Daima, Mbaraka Islam wa Raia Tanzania na Joachim Mushi ambaye ni Mwenyekiti wa Tanzania Bloggers Network (TBN) na mmiliki wa the Habari.com Blog
Baadhi ya wahariri wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi wakati wa mapumziko ya mkutano mkuu wa mwaka wa TANAPA na wahariri na waandishi wa habari waandamizi, ulipokuwa ukiendelea leo katika ukumbi wa VETA mkoani Morogoro. Mkutano huo umeandaliwa na TANAPA. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Uhuru FM, Angel Akilimali, Matinyi Masiaga na Absolum Kibanda
Baadhi ya wahariri wakibadilishana mawazo nje ya ukumbi wakati wa mapumziko ya mkutano mkuu wa mwaka wa TANAPA na wahariri na waandishi wa habari waandamizi, ulipokuwa ukiendelea leo katika ukumbi wa VETA mkoani Morogoro. Mkutano huo umeandaliwa na TANAPA.
Meneja Uhusiano wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) Pascal Shelutete akizungumza wakati wa mkutano huo
Mmoja wa Washiriki wa Mkutano huo, Deo Mushi, akisoma maazimio ya mkutano huo
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269