Breaking News

Your Ad Spot

Jun 9, 2016

WAHARIRI NA WAANDISHI WAANDAMIZI WAFANYA UTALII WA NDANI MBUGA YA WANYAMA YA MIKUMI, JANA

Mabasi maalum yakiwa yamebeba Wahariri na Waandishi waandamizi wa vuombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya Kijamii zikiwemo Blog, tayari kutoka VETA mkoani Morogoro kwenda Mbuga ya Wanyama ya Mikumi kwa ajili ya wanataaluma hao kwenda kufanya utalii wa ndani kwa lengo la kupanua uelewa kuhusu sekta ya utalii nchini. Maandalizi ya safari hiyo yalifanywa na Mamlaka za Hifadhi Tanzania (TANAPA). Mdau endelea kutazama mkanda mzima wa tukio hilo>>BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages