Mabasi maalum yakiwa yamebeba Wahariri na Waandishi waandamizi wa vuombo mbalimbali vya habari ikiwemo mitandao ya Kijamii zikiwemo Blog, tayari kutoka VETA mkoani Morogoro kwenda Mbuga ya Wanyama ya Mikumi kwa ajili ya wanataaluma hao kwenda kufanya utalii wa ndani kwa lengo la kupanua uelewa kuhusu sekta ya utalii nchini. Maandalizi ya safari hiyo yalifanywa na Mamlaka za Hifadhi Tanzania (TANAPA). Mdau endelea kutazama mkanda mzima wa tukio hilo>>BOFYA HAPA
Your Ad Spot
Jun 9, 2016
Home
Unlabelled
WAHARIRI NA WAANDISHI WAANDAMIZI WAFANYA UTALII WA NDANI MBUGA YA WANYAMA YA MIKUMI, JANA
WAHARIRI NA WAANDISHI WAANDAMIZI WAFANYA UTALII WA NDANI MBUGA YA WANYAMA YA MIKUMI, JANA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269