Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed
Shein akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali pamoja na
Viongozi wa Wizara ya Habari katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo Juni 9,
2016. (PICHA NA IKULU).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed
Shein akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali pamoja na
Viongozi wa Wizara ya Habari katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo Juni 9,
2016.
MKurugenzi Mkuu wa Shirika la Habari la Utangazji Zanzibar (ZBC) Hassan
Mitawi alipokuwa akitoa mchango wake wakati wa mkutano uliofanywa na Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
kuzungumza na waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali leo katika ukumbi wa
Ikulu Mjini Unguja
Mwandishi wa Shirika la Habari la Utangazji Zanzibar (ZBC)Tv Maulid
Kipevu akitoa mchango wake wakati wa mkutano uliofanywa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein kuzungumza
na waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja
Mwandishi mwandamizi wa Shirika la Habari la Utangazji Zanzibar (ZBC)
Redio Hassan Vuai akitoa mchango wake wakati wa mkutano uliofanywa na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
kuzungumza na waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali katika
ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja
Mwandishi
wa Gazeti la Zanzibar leo Hapsa Golo akisisitiza jambo wakati alipokuwa
akitoa mchango wake wakati wa mkutano uliofanywa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein kuzungumza na
waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja
Mwandishi mwandamizi wa Shirika la Habari la Utangazji ZBC Tv Khamis
Fakih akitoa mchango wake wakati wa mkutano uliofanywa na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein kuzungumza na waandishi
wa Habari wa Vyombo vya Serikali katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja
Baadhi ya waandishi wakiwa kwenye mkutano huo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed
Shein akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo vya Serikali pamoja na
Viongozi wa Wizara ya Habari katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja Juni 9,
2016.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269