
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na Naibu
Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Edwin Ngonyani (kushoto)na
Katibu Mkuu wa Mawasiliano, Profesa Faustine Kamuzora (kulia) baada
ya mazungumzo kati ya wizara hiyo na Viongozi wa kampuni ya Simu za
Mkononi ya Airtel, Sunil Colaso ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji (wapili
kushoto) na Beartice Singano. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269