Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozana na Rais wa Afrika ya Kusini Jacob
Zuma (wapili kulia) kuingia kwenye ukumbi wa Mikutano wa hoteli ya Grand
Palm mjini Gaborone kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi na serikali wa
Jumuiya yaMaendeleo kusini mwa Afrika ( SADC ) kumwakilisha Rais John
Pombe Magufuli Juni 28, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki akatika Mkutano wa Viongozi Wakuu wa
Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (
SADC) uliofanyika kwenye hoteli ya Grand Palm mjini Gaborone Botswana
Juni 28. Waziri Mkuu alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli kwenye
mkutano huo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269