Breaking News

Your Ad Spot

Aug 17, 2016

ALIYEKUWA MKURUGENZI WA MAMLAKA YA VITAMBULISHO YA TAIFA-NIDA ATINGA KIZIMBANI LEO

 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Maimu (Pichani), leo amefikishwa katika Mahakama ya hakim Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, akiwa na wafanyazi wengine wa Mamlaka hiyo.

January 2016, Rais Dk. Magufuli Magufuli alitengua uteuzi wa Mkurugenzi huyo na kumsimamisha kazi yeye na wafanyakazi wengine kadhaa kupisha uchunguzi wa namna NIDA ilivyotumia kiasi cha sh. bilioni 179.6, katika kazi ya upatikanaji wa vitambulisho vya taifa wakati huku kukiwa bado kuna malalamiko kwamba watu wengi walikuwa hawajapata vitambulisho hivyo.
Maimu  (watatu kushoto) akiwa na wenzake katika Mahakama hiyo, baada ya kufikishwa leo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages