Breaking News

Your Ad Spot

Aug 8, 2016

TRENI YA EXPRESS KUELEKEA KIGOMA

 Mmoja wa abiria akipanda ndani ya Behewa Dar es Salaam jana akielekea Kigoma kwa kutumia usafiri wa haraka  (EXPRESS), ambaye alifahamika kwa jina la Fatuma Kininga, aliushukuru uongozi mzima wa Shirika la Reli Tanzania,   kwa maamuzi yao ya kuanzisha usafiri huo, ambapo ni mkombozi kwao, aliendelea kusema kubwa hasa linalo wasumbua ni upatikanaji wa Tiketi ni mgumu kiasi ambacho kina wagharimu sana,  alisema, anawaomba wanao tumia usafiri huo kuwaomba kuzidi kutunza mazingira bila shuruti kwa kushirikiana na wafanya kazi kuona ni mali yake, kuto kanyaga viti, kula vitu na kutupa ndani ya mabehewa hayo, kuweka sheria kali na kuendelea kupewa elimu kila mara kwa abiria wanao tumia usafiri huo na kila mmoja kuwelimisha mwenzake na kuwa mlinzi kwa mwenzake, hayo aliyasema jana wakati alipokuwa ndani ya behewa Dar es Salaama jana. (PICHA ZOTE NA KAHMISI MUSSA)    
 
 Abiria wakiwa ndani ya Behewa tayari kuelekea Bara

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages