Breaking News

Your Ad Spot

Oct 2, 2016

MAKAMU WA RAIS WA CUBA AWASILI NCHINI JIONI HII LEO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Salvador Valdes Mesa akishuka katika Ndege mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere (JNIA) leo Jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Hassan Suluhu akimwongoza mgeni wake Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Salvador Valdes Mesa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere (JNIA) leo Jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages