Breaking News

Your Ad Spot

Oct 9, 2016

MBUNGE WA CHALINZE AKABIDHI MAGODORO 200 KWA SHULE YA MORETA

Mbunge wa jimbo la Chalinze Ridhiwani  Kikwete akikabidhi  magodoro kwa wanafunzi na mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Moreto ,Justine Lyamamu ,ambapo  bweni la  wasichana katika shule hiyo liliungua wiki iliyopita.


Mbunge wa Chalinze Ridhiwani akifurahia jambo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya chalinze, Mkurugenzi na maafisa wengine wa halmashauri ya Wilaya Chalinze.
Mbunge wa chalinze ametimiza ahadi yake ya kuchangia magodoro 200 na Halmashauri ya wilaya ya chalinze kwa shule ya Sekondari ya Moreto.
Mbunge akisema neno la ushauri na kuwatia moyo vijana kwa tukio lililowakuta na kwa utulivu uliotokea.

Wanafunzi wa shule ya sekondari Moreto  iliyopo Lugoba wilayani Bagamoyo, Mwanahamis Msonde na Sekion Mponela wakimshukuru Mbunge wa jimbo la  Chalinze Ridhiwani  Kikwete na mwenyekiti wa halmashauri ya Chalinze Saidi  Zikatimu kwa msaada wa magodoro.


No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages