![]() |
Mbunge wa jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete akikabidhi magodoro kwa wanafunzi na mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari Moreto ,Justine Lyamamu ,ambapo bweni la wasichana katika shule hiyo liliungua wiki iliyopita. |
![]() |
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani akifurahia jambo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya chalinze, Mkurugenzi na maafisa wengine wa halmashauri ya Wilaya Chalinze. |
![]() |
Mbunge wa chalinze ametimiza ahadi yake ya kuchangia magodoro 200 na Halmashauri ya wilaya ya chalinze kwa shule ya Sekondari ya Moreto. |
![]() |
Mbunge akisema neno la ushauri na kuwatia moyo vijana kwa tukio lililowakuta na kwa utulivu uliotokea. |
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269