Breaking News

Your Ad Spot

Nov 23, 2016

JK AKUTANA NA CROWN PRINCE WA ABUDHABI

 Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na Crown Prince wa Abudhabi na Naibu Kamanda Mkuu wa Majeshi ya UAE  Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan katika makazi yake jijini Abudhabi
 Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ambaye ni Mjumbe Maalum wa AU kwa Libya, akiwa katika mazungumzo na Crown Prince wa Abudhabi Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan. Kulia ni Waziri wa Nchi  H.H.Reem Al Hashimy.
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ambaye ni  Mjumbe Maalum wa AU kwa Libya, akiagana na Crown Prince wa Abudhabi Mtukufu Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages