Madaktari Bingwa wa Moyo kutoka Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete
(JKCI) kwa kushirikiana na Madaktari wenzao kutoka Taasisi ya Open Heart
International (OHI) ya Nchini Australia wakitoa huduma ya matibabu ya
moyo bila ya kupasua kifua (Catheterization) kwa mgonjwa, kwenye taasisi hiyo jijini Dar es Salaam. (PICHA NA ANNA NKINDA-JKCI)
Madaktari Bingwa wa Moyo kutoka Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete
(JKCI) kwa kushirikiana na Madaktari wenzao kutoka Taasisi ya Open Heart
International (OHI) ya Nchini Australia wakitoa huduma ya matibabu ya
moyo bila ya kupasua kifua (Catheterization) kwa mgonjwa. Kushoto ni Afisa
Muuguzi Ayoub Mchau, akifuatiwa na Dkt. Daniel Maclennan na kulia ni Dkt. Peter
Kisenge.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269