Waziri
Mkuu, Kaasim Majaliwa akiteta na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo
Pinda wakati alipokwenda kwenye hospitali ya mkoa wa Dodoma kumjulia hali
Mzee Xavery Kayanza Pinda ambaye ni baba mzazi wa Waziri Mkuu Mstaafu Novemba
22, 2016. Mzee Pinda amelazwa kwenye hospitali hiyo kwa matibabu
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda wakati
alipokwenda kwenye hospitali ya Mkoa wa Dodoma kumjulia hali baba mzazi wa
Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee Xavery Kayanza Pinda
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia jambo kati yake na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
baada ya kuwasili kwenye hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako alikwenda kumjulia
hali baba mzazi wa Waziri Mkuu Mstaafu, Mzee Xavery Kayanza Pinda . Kulia ni Paroko wa Kanisa Kuu Katoliki la Dodoma , Padri Wisi Onesmo na
wapili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269