Bango
lililopo katika chumba cha Mkutano 31 wa Uzinduzi wa Mkutano wa Chama
Cha Madaktari wa Kinywa na Meno utakao fanyika 23 na 25 Vovemba, 2016 ,
ambapo Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dr, Steven Kebwe anatarajiwa kuwa mgeni rasmi
Ukumbi
wa Magadu Officers Club uliopo Mjini Morogoro ndio utakao tumika kwa
Mkutano huo wa 31 wa Chama Cha Madaktari hao wa Kinywa na Meno
Baadhi
ya Madaktari kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili wakiwa katika chumba
cha Mkutano ambacho kitakacho fanyiwa Mkutano huo wakiongozwa na
mwenyeji wao Baraka Nzobo (kulia) ambae ni Daktari wa Kinywa na Meno
Hospitali ya Rufaa, Mkoa wa Morogoro
Baadhi ya Madaktari toka Hospitali ya Taifa Muhimbili na wenyeji wao kutoka Hospitali ya Rufaa, Morogoro wakiweka mambo sawa mara walipo wasili Mkoani humo wakiongozwa na Rais wa Chama hicho Dk, Lorna Carneiro (wa nne kulia)
Rais
Mstaafu wa Kinywa na Meno na Mkuu wa Idara Hospitali ya Taifa Muhimbili
Dk, Rachel Mhavile (kushoto) akijadiliana jambo na wafanyakazi wa
Hosptali ya Taifa Muhimbili baada ya kuwasili Mkoani Morogoro katika
Mkutano wa 31 wa Chama Cha Madaktari wa kinywa na Meno utao tarajiwa
kuanza 23 na kufikia kilele 25 Novemba. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269