Breaking News

Your Ad Spot

Nov 23, 2016

MKUU WA MKOA WA MOROGORO AFUNGUA MKUTANO WA 31 WA KISAYANSI WA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO

  Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk, Stephen Kebwe (kushoto) akizungumza jambo wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa 31 wa Kisayansi wa Madaktari wa Kinywa na Meno uliofanyika maeneo ya JWTZ Magadu Officers Mess,  Mkoani Morogoro. kuanzia kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Chama Cha Madaktari wa Kinywa na Meno, Profesa, Bakari Lembariti, Rais Mwandamizi wa Chama hicho Dk, Ambege Mwakatobe na Rais wa Chama hicho cha Madaktari wa Kinywa, Dk, Lorna Carneiro

  Rais wa Chama Cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania (TDA),  Dk, Lorna Carneiro (wa katikati) akisoma hutuba ya kumkaribisha mgeni Rasmi wakati wa  Ufunguzi wa Mkutano wa 31 wa Kisayansi wa Madaktari wa Kinywa na Meno uliofanyika maeneo ya JWTZ Magadu Officers Mess,  Mkoani Morogoro,
kushoto ni  Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk, Stephen Kebwe na kulia ni Rais Mwandamizi wa Chama hicho Dk, Ambege Mwakatobe
 Baadhi ya Madaktari hao wakijiandikisha kabla ya kuanza kwa Mkutano huo

 Baadhi ya Madaktari wakiwa katika chumba cha Mkutano
 Daadhi ya Madaktari wakiwa katika hali ya usikivu

   Rais wa Chama Cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania (TDA),  Dk, Lorna Carneiro akizungumza jambo na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,  Dk, Stephen Kebwe (kushoto) wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa 31 wa Kisayansi wa Madaktari wa Kinywa na Meno, baada ya kufungua Mkutano huo wa Madaktari wa Kinywa na Meno uliofanyika katika Ukumbi wa JWTZ Magadu Officers Mess,  Mkoani Morogoro
  Rais wa Chama Cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania (TDA),  Dk, Lorna Carneiro (wa pili kushoto) na Rais Mwandamizi wa Chama hicho  Dk, Ambege Mwakatobe (kushoto) wakiteta jambo
Profesa, Emir Kikwilu akizungumza jambo

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro akizungumza jambo
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania (TDA), Profesa Bakari Lembariti akizungumza jambo

Rais wa Chama Cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania (TDA),  Dk, Lorna Carneiro (wa pili kulia) akimkabidhi Begi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,   Dk, Stephen Kebwe  lenye vipeperushi mbalimbali na kulia ni Rais Mwandamizi wa Chama  hicho Dk, Ambege Mwakatobe

Rais Mwandamizi wa Chama  hicho Dk, Ambege Mwakatobe (kulia) akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk, Stephen Kebwe baada ya Ufunguzi wa Mkutano wa 31 wa Kisayansi wa Madaktari wa Kinywa na Meno uliofanyika maeneo ya JWTZ Magadu Officers Mess,  Mkoani humo (katikati) ni  Rais wa Chama Cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania (TDA),  Dk, Lorna Carneiro

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,  Dk, Stephen Kebwe katika Picha ya pamoja na Madaktari hao



Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania (TDA), Profesa Bakari Lembariti akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk, Stephen Kebwe baada ya Uzinduzi huo


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk, Stephen Kebwe akizungumza na wandishi wa habari mara baada ya uzinduzi huo




Rais Mwandamizi wa Chama  hicho Dk, Ambege Mwakatobe akizungumza na wandishi wa habari baada ya kumalizika Mkutano huo
  Rais  wa Chama  hicho Dk, Lorna Carneiro  akizungumza na wandishi wa habari baada ya kumalizika Mkutano huo (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages