Mmiliki
wa ujijirahaa blog, Khamisi Mussa Bilali (kushoto) katika picha ya pamoja na
Profesa, Bakari Lembariti ambaye ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa
Chama cha Madaktari wa Meno Tanzania (TDA), tukijiandaa kwenda Mkoani Morogoro kwa niaba ya ufunguzi wa Chama Cha Madaktari wa Meno Tanzania unao tarajiwa kufunguliwa kesho 23 Novemba na Mkuu wa Mkoa huo, Dokta, Steven Kebwe na kilele cha maadhimisho hayo ni 25, Novemba, 2016. Chama cha Madaktari wa Kinywa na Meno kinapenda kuwaomba Wananchi wa mkoa huo na walio pembezoni mwa mkoa huo kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho hayo eneo la Magadu lililopo Jeshi mkoani humo. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
Your Ad Spot
Nov 22, 2016
Home
Unlabelled
MMILIKI WA UJIJIRAHAA BLOG SAFARINI MOROGORO KIKAZI
MMILIKI WA UJIJIRAHAA BLOG SAFARINI MOROGORO KIKAZI
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269