Breaking News

Your Ad Spot

Nov 24, 2016

PROFESA MBARAWA ATEMBELEA TEMESA

 Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Profesa Makame Mbarawa (kulia) akiongea na baadhi ya wajumbe wa menejimenti ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) alipotembelea wakala huo mapema jana. KushOto ni Mtendaji Mkuu wa TEMESA Dkt. Mussa Mgwatu
  Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Profesa Makame Mbarawa (kulia) akisikiliza maelezo ya dereva wa serikali aliepeleka gari lake katika karakana ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) MT. Depot iliyoko Dar es Salaam kuhusu ubora wa huduma pamoja zinazotolewa alipotembelea na kukagua karakana hiyo jana.
 Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Profesa Makame Mbarawa (kushoto) akiongea na Mafundi wa karakana ya  Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) MT. Depot iliyoko Dar es
Salaam alipotembelea  na kukagua karakana hiyo jana.
 Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Profesa Makame Mbarawa(kushoto) akiangalia vifaa vilivyopo katika stoo ya vifaa vya matengenezo ya magari katika karakana ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) MT. Depot iliyoko Dar es Salaam kulia ni Mtendaji Mkuu wa TEMESA Dkt. Mussa Mgwatu
Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Profesa Makame Mbarawa (aliye simama) akiongea na baadhi ya watumishi wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) katika ukumbi wa karakana ya MT. Depot alipotembelea wakala huyo mapema jana. (PICHA ZOTO NA THERESIA MWAMI, TAMESA)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages