Breaking News

Your Ad Spot

Nov 30, 2016

RAIS DK.SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA KENYA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Kenya hapa Tanzania, Chirau Ali Makwere (kushoto), alipofika Ikulu Mjini Unguja, leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi wa Kenya hapa Tanzania, Chirau Ali Makwere (kushoto), alipofika Ikulu Mjini Unguja, leo. (Picha na Ikulu, Zanzibar)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages