Rais
John Magufuli akiagana na Rais wa Zambia, Edgar Chagwa Lungu kwenye
uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere wakati mgeni huyo
alipoondoka nchini kurejea nyumbani jana Novemba 29, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Rais
John Magufuli akiwapungia wananchi waliojitokeza kumuaga Rais wa
Zambia, Edgar Chagwa Lungu kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere
wakati alipoondoka nchini kurejea nchini Novemba 29, 2016. Wengine
pichani ni Makamu wa Rais, Samia Suluhu na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
(picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Inspekta Jenerali wa Polisi,
Ernest Mangu kwenye uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere jijini
Dar es salaam Novemba 29, 2016. Wapili kulia ni Mkuu wa Majeshi ya
Ulinzi, Jenerali Davis Mwamunyange na watatu kulia ni Katibu Mkuu
Kiongozi, Mhandisi John Kijazi.
Rais
John Magufuli akiongozana na mgeni wake, Rais Edgar Chagwa Lungu
wakati mgeni huyo alipoondoka nchini kurejea nyumbani kwenye uwanja wa
ndege wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam Novemba 29, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais
John Magufuli na Makamu wa Rais, Samia Suluhu wakishuudia wakati Rais
wa Zambia Edgar Chagwa Lungu akiagana na Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa
kwenye uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere kabla ya kuondoka
nchini kurejea nyumbani Novemba 29, 2016.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269