Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akionyeshwa pembe za faru John na Kaimu
Mkurugenzi
Msaidizi wa Kitengo cha Kupambana na Ujangili wa Wanyamapori,(Acting
Assistant Director of Anti-poaching, Wildlife Division), Bw. Robert
Mande, (kulia) wakati wa kikao kilichofanyika kwenye Makazi yake jijini Dar es
salaam
Desemba 9, 2016. Hatua hiyo inafuatia agizo alilolitoa Waziri Mkuu
wakati akizungumza na wafanyakazi wa Hifadhi ya Ngorongoro, kuwa
wawasilishe vielelezo vyote vya namna gani na kwanini Faru John
alihamishwa kutoka makazi yake hapo Ngorongoro na kupelekwa kwenye hoteli
moja ya kitalii na hatimaye kudaiwa kufa. (PICHA NA OFISI YA
WAZIRI MKUU)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyeshwa pembe za faru John na
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Kupambana na Ujangiri wa
Wanyamapori (Acting Assistant Director of Antipoarching, Wildlife
Division), Bw. Robert Mande, katika kikao kilichofanyika kwenye Makazi yake
jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016. Kulia ni Waziri wa Maliasili na Utalii,
Profesa Jumanne maghembe.
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha Kupambana na Ujangiri wa
Wanyamapori (Acting Assistant Director of Antipoarching, Wildlife
Division), na Bw. Robert Mande (kulia) na Mkuu wa Hifadhi ya Ikorongo Gurunetya
Serengeti, Nollosco Ngowe wakiwa wamebeba sanduku lenye pembe za faru John
baada ya kumwonyesha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika kikao kilichofanyika
kwenye Makazi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Desemba 9, 2016
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269