Breaking News

Your Ad Spot

Dec 6, 2016

RAIS DK. MAGUFULI MGENI RASMI KWA MARA YA KWANZA MAADHIMISHO YA UHURU WA TANZANIA

Rais Dk. Magufuli
Rais Dk. John Magufuli ambaye ndiye Amirijeshi Mkuu wa Majeshi la Ulinzi na Usalama, ataongoza kwa mara ya kwanza sherehe za Maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania, zitakazofanyika jijini Dar es Salaam, tarehe 9, Desemba mwaka huu.

Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Nchi (Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Watu wenye ulemavu, Ofisi ya waziri Mkuu, Jenista Mhagama na Kusambazwa na Idara ya habari, MAELEZO,  sherehe hizo zitaambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo paredi ya vikosi mbalimbali vya Majeshi ya Ulinzi na Usalama.
 Taarifa kamili soma ifuatayo


No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages