Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiondoka kwenye
uwanja wa Mazingira Bora baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara kwenye mji mdogo
wa Karatu akiwa katika ziara ya mkoa wa Arusha Desemba 5, 2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na wanakijiji wa Qangded wilayani Karatu Desemba 5,
2016. Wananchi hao walizuia msafara wake wakitaka awasikilize.(Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizindua mradi wa maji wa kijiji cha Jobag wilayani Karatu Desemba 5,
2016. Mradi huo umejengwa na Shirika la World Vison. Kulia kwake ni
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, risho Gambo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimtwisha ndoo ya
maji Mwalimu Frida Shayo baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji
cha Jobag wilayani Karatu Desemba 5, 2016. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa
Arusha Mrisho Gambo. Mradi huo umejengwa na Shirika la Worl Vision
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269