Breaking News

Your Ad Spot

Jan 29, 2017

RAIS DK. MAGUFULI AHUTUBIA KATIKA KUTANGAZA JINA RASMI LA KITUO CHA AMANI NA USALAMA KILICHOPEWA JINA LA MWALIMU JULIUS NYERERE KATIKA MAKAO MAKUU YA UMOJA WA AFRICA (AU) ADDIS ABABA NCHINI ETHIOPIA

 Rais wa Tanzania Dk. John Magufuli akiwa na viongozi wa Nchi mabalimbali katika picha ya pamoja mbele ya jengo jipya la Kituo cha  Amani na Usalama la Julius Nyerere lililopo Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, Ethiopia.
 Rais Dk. John Magufuli akihutubia Viongozi Wakuu wa Nchi mbalimbali kuzindua Jengo jipya la Kituo cha Amani na Usalama kilichopewa jina Rasmi la Mwalimu Julius Nyerere, Addis Ababa, Ethiopia, leo Januari 29, 2017.
 Rais Dk. John Magufuli akijadiliana jambo na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa rasmi kwa Jina la Mwalimu Julius Nyerere katika kituo hicho cha Amani na Usalama.
 Rais Dk. John Magufuli akijadiliana jambo na Rais wa Rwanda Paul Kagame wakati wakielekea katika Kituo cha Amani na Usalama cha Makao Makuu ya Umoja wa Afrika kilichopewa jina la Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Nyerere, Addis Abba nchini Ethiopia, leo. 
Rais Dk. John Magufuli akijadiliana jambo na Rais wa Rwanda Paul Kagame wakati wakielekea katika Kituo cha Amani na Usalama cha Makao Makuu ya Umoja wa Afrika kilichopewa jina la Rais wa kwanza wa Tanzania Mwalimu Julius Nyerere, Addis Abba nchini Ethiopia, leo.  PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages