Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk. Tulia Ackson
akiongoza kikao cha Ishirini na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la
11 leo Mjini Dodoma Mei 11, 2017.
Waziri
Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa akijibu maswali Mbalimbali ya Wabunge katika
kikao cha Ishirini na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini
Dodoma Mei 11, 2017.
Naibu
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe.Isack Kamwelwe akijibu maswali
mbalimbali ya wabunge katika kikao cha Ishirini na mbili cha Mkutano wa
saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 11, 2017.
Naibu
Waziri wa Nishati na Madini Mhe.Dk.Medard Kalemani akijibu maswali
mbalimbali ya wabunge katika kikao cha Ishirini na mbili cha Mkutano wa
saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Mei 11, 2017.
Naibu
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe.Isack Kamwelwe na Naibu Waziri wa
Nishati na Madini Mhe.Dk.Medard Kalemani wakifuatilia hoja mbalimbali
Bungeni katika kikao cha Ishirini na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge
la 11 Mjini Dodoma Mei 11, 2017.
Mbunge wa
Viti Maalum Mhe.Amina Mollel (CCM) akiuliza swali katika kikao cha
Ishirini na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma
Mei 11, 2017.
Waziri
Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa akizungumza jambo na Waziri wa Katiba na Sheria
Mhe.Prof,Palamagamba Kabudi kikao cha Ishirini na mbili cha Mkutano wa
saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Mei 11, 2017.
Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais(TAMISEMI) Mhe.George Simbachawene akijibu maswali
mbalimbali ya wabunge katika kikao cha Ishirini na mbili cha Mkutano wa
saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 11, 2017.
Waziri wa
Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe,Ummy Mwalimu
akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha Ishirini na
mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma Mei 11, 2017.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(TAMISEMI) Mhe.Suleiman Jafo akijibu maswali
mbalimbali ya wabunge katika kikao cha Ishirini na mbili cha Mkutano
wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 11, 2017.
Kiongozi
Mkuu wa Kambi rasmi ya upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai Mhe. Freeman
Mbowe akimuuliza swali Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika kikao cha
Ishirini na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma
Mei 11, 2017.
Waziri wa
Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi ,Vijana , Ajira na wenye
Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akijadili jambo na wabunge mbalimbali katiika kikao
cha Ishirini na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini
Dodoma Mei 11, 2017.
Mbunge wa
Same Magharibi(CCM) Mhe David Mathayo David akiuliza swali katika
kikao cha Ishirini na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini
Dodoma Mei 11, 2017.
Wabunge
wakijadili jambo katika kipindi cha maswali na majibu katika kikao cha
Ishirini na mbili cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 Mjini Dodoma
Mei 11, 2017.
Picha Zote na Daudi Manongi- Dodoma MAELEZO, DODOMA
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269