Ndugu wadau mnakaribishwa kufika
katika hafla fupi ya kusherehekea na Trevo, ni kesho mei 20 saa 8
alasisi, katika Ofisi zao zilizopo Moroko, ambapo wataanza na bonge la
Presentation na shuhuda za kukufua mtu aliyekwisha kata tamaa ya maisha.
Itafatia kuwapongeza waliofanya
vizuri na kupanda vyeo , kuwasheherekea watoto walio zaliwa mwezi wa
Mei (Mei Babies) na wote waliojiunga na familia ya Trevo mwezi wa
April.
kutakuwa na ukataji wa keki kwa
pamoja nakuionja ladha tamu ya Trevo kwa kila mtu atakunywa trevon bila
kumsahau DJ Penye on the one and two pamoja na wanahabari
mnakaribishwa na yote tisa, kumi na kubwa kuliko yote ni kwambaaa,
Mark Stevens, Rais wa Trevo Ulimwenguni atakuwa Live yaani Mubasharaaaz
kabisa mwishoni mwa shughuli hiyo na pamoja na pongezi pia anajambo
muhimu anahitaji kusema na Watanzania kwa ujumla
Hii sio ya kukosa wala sio ya kumkosesha mtu, mwambiye na jirani yako. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269