Breaking News

Your Ad Spot

Jul 4, 2017

WANAFUNZI SHULE YA NYANGAO WAKUTANA NA WAZIRI MKUU BUNGENI MJINI DODOMA, LEO

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyangao iliyopo Jimbo la Mtama mkoani Lindi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, leo Julai 4, 2017. Kushoto kwake ni Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyangao iliyopo Jimbo la Mtama mkoani Lindi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, leo Julai 4, 2017. Kushoto kwake ni Mbunge wa Kuteuliwa, Mama Salma Kikwete
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na walimu wa Shule ya Sekondari Nyangao iliyopo Jimbo la Mtama mkoani Lindi kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, leo Julai 4, 2017. Kushoto kwake ni Mbunge wa Kuteuliwa, Mama Salma Kikwete na wapili kushoto kwake ni Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye. PICHA: OFISI YA WAZIRI MKUU

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages