Breaking News

Your Ad Spot

Sep 17, 2017

CUTHBERT MIDALA AFUNGA NDOA NA CATHERINE, JIJINI DAR ES SALAAM

Hayawi hayawi mwisho huwa. Ofisa wa Makao Makuu ya CCM, Cuthbert Midala na Mkewe Catherine, wakionyesha pete zao vidoleni, baada ya kufunga ndoa mubashara, katika Kanisa la ECWC, Kimara kwa Msuguri, Dar es Salaam, jana, Jumamosi Septemba 16, 2017. Baadaye walihitimsha kwa mnuso mkali uliokutanisha Wazazi, Ndugu, Marafiki na Jamaa, katika Ukumbi wa Msasani Beach Club, pia Dar es Salaam. Zifuatazo ni picha kem kem za tukio hilo, tafadhali, endelea...

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages