Breaking News

Your Ad Spot

Nov 9, 2017

MHISPANIA AWEKA REKODI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA KUTUMIA BAISKELI

Mpanda milima mashuhuri Duniani kwa kutumia Baiskeli Juanito Oiarzabal akiwa amefanikiwa kuweka rekodi ya kuwa Mhispania wa kwanza kupanda Mlima Kilimanjaro akitumia saa 31 akiendesha baiskeli hadi kileleni.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages