Breaking News

Your Ad Spot

Nov 17, 2017

ZOEZI LA KUANDIKISHA WANANCHI KUPATA VITAMBULISHO VYA TAIFA LINAENDELEA KATIKA MIKOA YA MANYARA NA SINGIDA


Mkuu wa Kitengo cha Biashara Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa,Thomas William akizungumza na kipindi cha Hello Tanzania cha Uhuru FM,kuhusu zoezi la uandikishaji wananchi kwaajili ya vitambulisho vya Taifa katika Mikoa ya Manyara na Singida.
Ndugu Thomas atazungumzia zoezi hilo linavyoendelea katika mikoa mingine siku ya jumatatu tarehe 20-11-2017 katika kipindi Hello Tanzania cha Uhuru FM saa 02:00 kamili Asubuhi.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages