Breaking News

Your Ad Spot

Dec 26, 2017

MWANDISHI WA HABARI WA AZAM AZIKWA DAR

 Baadhi ya ndugu jamaa na marafiki wa marehemu Idd Salum wakielekea makaburini wakati wa mazishi yake Desemba 26 2017. (Picha na Francis Dande)
 Meya wa zamani wa Kinondoni, Alhaji Salum Londa akiwa ni miongoni mwa waombolezaji.
 Wanahabari pamoja na ndugu wakielekea makaburini.
 Mwandishi wa habari wa Kituo cha Runinga cha ITV, Hemed Kivuyo akielekea makaburini
 Kuelekea makaburini.
 Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu Idd Salum wakati wakielekea makaburini.
Safari ya mwisho hapa duniani ya marehemu Idd Salum.
 Shughuli za mazishi zikiendelea.
 Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wakiwa makaburini.
 Waombolezaji.
 Mwili wa marehemu ukihifadhiwa kaburini.
 Taratibu za mazishi zikiendelea.
 Shughuli za mazishi zikiendelea
 Waombolezaji wakishiriki maziko ya Idd 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages