Breaking News

Your Ad Spot

Dec 26, 2017

NI USIKU WA JUMA NA MKEWE FLORA BAADA YA KUFUNGA NDOA

 Bwana harusi, Juma katika pozi na mkwe Frola baada ya kufunga pingu za maisha na kufatiwa na tafrija katika ukumbi wa Makonde Kuringe Hall,  Dar es Salaam  (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Bwana harusi Juma (kulia) akiwa katika pozi na mpambe wake Jacob
Biharusi Flora (kushoto) akipozi na mpambe wake Mariam kabla ya kuingia ukumbini

Bwana haruzi Juma katika pozi akifurahia jambo wakati wa hafla fupi ya kupongezwa na mkewake Flora katika Ukumbi wa Makonde Kuringe Hall,  Dar es Salaam 
Bi harusi Mtarajiwa Flora akipambwa na mpambaji maarufu Sanura Beauty Artist
Mpambe wa Bi harusi Mtarajiwa Mariam akipambwa na mpambaji maarufu Sanura Beauty Artist




Bi harusi katika pozi

Bi harusi akiwa na mpambe wake katika pozi

Mnaniona katika pozi



Bi harusi Flora akilidaka ua baada ya kulirush juu
Bi harusi katika pozi kabla ya kuingia ukumbini




Mc na mtaalamu wa mapambo na chalula akiweka mambo sawa kabla ya kuingia maharusi na wageni waalikwa


Asante mume kunipokea UA pokea na wewe
Mama wa biharusi mtarajiwa (wa nne kushoto) akiwa katika picha ya wana familia kabla ya kuingia ukumbini
Wazazi wa Bwana harusi wakiingia ndani ya ukumbi kwa madaha wakiiongoza familia yao

Wazazi wa Bwana harusi wakiipokea familia ya Bi harusi wakati walipokuwa wakiingi ndani ya ukumbi wa Makonde Kuringe Hall,  Dar es Salaam 
Familia ya Biharusi ikiingia ukumbini
Bwana na Bi harusi wakiingi ndani ya ukumbi

Bwana na Bi harusi wakiingi ndani ya ukumbi wakiwa na nyuso za  furaha mara baada ya kufunga ndoa
Mwenyekiti wa nguvu wa Shughuli hiyo ya hafla fupi ya kuwapongeza maharusi, Monica Hillary Doe akizungumza jambo  kwa waalikwa

Bwana harusi Juma na Mkewe Flora wakinyweshana Shampeni
Bwana harusi na Mkewe katikati wakigonganisha glas na wapambe
Bwana harusi na mkewe wakikata keki
Bwana harusi Juma akimlisha mkewake Flora kipande cha keki
Bi harusi Flora akiwakabidhi keki wazazi wa Bwana harusi
Bwana harusi Juma akiwakabidhi keki wazazi wa Bi harusi



Mama wa bwana harusi katika picha ya pamoja na marafiki zake


Wazzi wa Bwana harusi
Wazazi wa Biharusi








No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages