Breaking News

Your Ad Spot

Jan 2, 2018

BABU SEYA NA FAMILIA YAKE WAENDA IKULU KUMSHUKURU RAIS DK MAGUFULI, LEO

 Rais Dk. John Magufulu akiwa ameshikana mikono na Mwanamuziki nguli Nguza Vicking "Babu Seya" (wapili kushoto) na watoto wake Johnson Nguza "Papii Kocha", (kushoto) Francis Nguza na Michael Nguza (kulia) walipofika Ikulu Jijini Dar es Salam. Babu Seya na wanaye waliachiwa huru kwa msahama wa Rais Dk Magufuli wakati wa Sherehe za Uhuru, Desemba 9, 2017, baada ya kuwa gerezani kwa kifungo cha maisha miaka 13 iliyopita
Mwanamuziki Nguza Vicking "Babu Seya" (kushoto)  na watoto wake walipokuwa wakiingia Ikulu leo.

SOMA TAARIFA YA IKULU

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages