Breaking News

Your Ad Spot

Jan 1, 2018

JK ASHEREHEKEA NA WANANCHI WA MSOGA KUUPOKEA MWAKA MPYA



 Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa pamoja na Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgallu, sambamba na wananchi wa mji wa Msoga Mkoani Pwani kusherehekea kuukaribisha mwaka mpya wa 2018 katika hafla iliyoandaliwa na Dkt. Kikwete kijijini kwake Msoga, usiku huu.
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia fataki angani wakati wa sherehe ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2018, iliyofanyika usiku huu kijijini kwake Msoga, Mkoani Pwani.
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (aliyemshika mtoto) alikuwa ni mmoja wa wakazi wa mji wa Msoga waliojumuika nyumbani kwa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kulikofanyika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2018.
 Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono wa heri ya mwaka mpya na baadhi ya wageni waliofika kijijini kwake hapo.
 Msanii wa Muziki wa Singeli, Msaga Sumu akitumbuiza mbela ya maelfu ya wananchi wa Msoga katika sherehe ya kuukaribisha mwaka mpya 2018, iliyofanyika Nyumbani wa Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete, Msoga Mkoani pwani.
 Burudani ya Ngoma ya Asili.
 Burudani ya Utamaduni wa Kimaasai.

















No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages