Breaking News

Your Ad Spot

Jan 27, 2018

RAIS DK. SHEIN AREJEA NYUMBANI KUTOKA ZIARA YA NCHI ZA FALME ZA KIARABU

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akitokea Nchi za Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu UAE, akivishwa shada la maua na Mtoto aliyeandaliwa.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akivishwa shada la maua na mtoto aliyeandaliwa wakati wa kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akitokea katika ziara yake ya wiki moja katika Nchi za Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein na Mke Mama Mwanamwema Shein, wakisalimiana na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakitokea katika ziara ya Kiserikali katika Nchi za UAE
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein na Mke Mama Mwanamwema Shein, wakisalimiana na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar walipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakitokea katika ziara ya Kiserikali katika Nchi za UAE
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama,baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Wazee wa CCM alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume baada ya kumaliza ziaya yake katika Nche za Falme za Kiarabu UAE
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar baada ya kuwasili Zanzibar katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kushoto Mama Mwanamwema, Shein na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.
WAANDISHI wa habari wa vyombo mbalimbali Zanzibar wakiwa na Baadhi ya Mawaziri waliofuatana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, wakifuatilia Mkutano huo na waandi katika chumba cha VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa Vyombo vya Habari mbalimbali vilioko Zanzibar akizungumzia mafanikio ya ziara yake katika Nchi za Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu, baada ya kuwasili Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa Vyombo vya Habari mbalimbali vilioko Zanzibar akizungumzia mafanikio ya ziara yake katika Nchi za Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu, baada ya kuwasili Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud, baada ya kuzungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi baada ya kumaliza mazungumzo na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar mafanikio ya ziara yake katika Nchi za Falme za Kiarabu UAE.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages