Breaking News

Your Ad Spot

Jan 1, 2018

URA YA UGANDA NA JAMHURI YA ZANZIBAR ZATOKA SARE YA 1-1 MCHEZO WA KOMBE LA MAPINDUZI, LEO

Kipa wa Timu ya Jamuhuri Ali Khamis akiokoa mpira wa kona golini kwake wakati wa mechi ya Kombe la Mapinduzi iliyopigwa kati ya timu yake na timu ya URA ya Uganda katika Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar leo, Timu hizo zimetoka sare ya bao. 1-1.(Picha na Othman Maulid)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages