Breaking News

Your Ad Spot

Mar 20, 2018

UWT MKOA WA DAR ES SALAAM, WAFANYA ZIARA KIGABONI, TEMEKE, WAPOKEWA KWA KISHINDO, WAMFAGILIA RAIS DK. MAGUFULI KWA KUZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA NCHNI.

 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Dar es Salaam, Dorothy Kilave akizungumza na Wajumbe Wa Kamati ya Utekelezaji wa Jumuiya hiyo Wilaya ya Kigamboni, alipofanya ziara ya Kikazi katika Wilaya hiyo na Temeke, leo. Dorothy ambaye alifuatana na Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Tatu Malyaga na Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UWT mkoa huo, amesisitiza kuwa ni lazima viongozi watambue kuwa muda wa maandalizi ya ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu ujao ni sasa.
Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Tatu Malyaga akizungumza wakati wa kikao cha Kazi kati ya Mwenyekiti wa UWT mkoa huo na Wajumbe wa Baraza la Utekelezaji UWT Wilaya ya Kigamboni, leo. Malyaga amesema  UWT mkoa wa Dar es Salaam, Wanampongeza Rais Dk. John Magufuli kwa uthubutu aliofanya mwishoni mwa wiki iliyopita, kukutana na kufanya mazungumzo ya kina na Wafanyabiashara mbalimbali hapa nchini. "Sisi tunaaamini hatua hii itasaidia sana kuondoa au kupunguza changamoto zinazonyemelea sekta ya biashara nchini", alisema Tatu Malyaga
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Dorothy Kilave akiongozana na Wabumbe wa Baraza la Utekelezaji la mkoa huo, kuingia ukumbini wakati wa kikao hicho cha kazi Kigamboni. Kulia ni Wajumbe hao, Elizabeth Lameck na Hawa Nguh'umbi.
Katibu wa CCM Wilaya ya Kigamboni Agnes Seng'unda akimwongoza Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Tatu Malyaga kwenda ukumbini. Kulia ni Katibu wa UWT Kigamboni Nasma Abdallah
Katibu wa CCM Wilaya ya Kigamboni Agnes Seng'unda akizungumza mwanzoni mwa kikao hicho cha kazi.
Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji la UWT mkoa wa dar es Salaam, Elizabeth Lameck akisalimia baada ya kutambulishwa na Malyaga.
Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji UWT mkoa wa Dar es Salaam Hawa Nguh'umbi akisalimia baada ya kutambulishwa.
Washiriki wa kikao hicho cha kazi wakifuatilia kwa makini hotuba za viongozi
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam  Dorothy Kilave, Katibu wa UWT mkoa huo Tatu Malyaga na Wajumbe wa Baraza la Utekelezaji la UWT mkoa wa Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kikao hicho cha kazi
 Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave akipewa chakula na mhudumu, wakati wa chakula cha mchana baada ya kikao hicho cha kazi
Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Tatu Malyaga akipewa chakula na mhudumu, wakati wa chakula cha mchana baada ya kikao hicho cha kazi
Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji UWT mkoa wa Dar es Salaam, Elizabeth Lameck akipewa chakula na mhudumu, wakati wa chakula cha mchana baada ya kikao hicho cha kazi
Baadhi ya viongozi na washiriki wa kikao hicho cha kazi wakipata chakula. Kulia ni Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji UWT mkoa wa Dar es Salaam Hawa Ngh'umbi.
Baadhi ya viongozi na washiriki wa kikao hicho cha kazi wakiwa kwenye foleni ya chakula. 
Baadhi ya viongozi wa UWT Wilaya ya Kigamboni wakipata chakula.
TEMEKE
Ujumbe kutoka UWT mkoa wa Dar es Salaam wakipokewa na wenyeji kwenye Ofisi ya CCM Kata ya Mtoni, Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave na ujumbe wake huo walipowasili tayari kwa kikao cha kazi na viongozi wa UWT wa Wilaya ya Temeke.
Ujumbe ukiingia ukumibi
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Dorothy Kilave akisaini kitabu cha wageni
Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Tatu Malyaga akisaini kitabu cha wageni
Hawa Ngh'umbi akisaini kitabu cha wageni
Elizabeth Lameck akisaini kitabu cha wageni
Baadhi ya wajumbe wakienda ukumbini
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Dorothy Kilave (wapili kulia) akiwasili ukumbini na viongozi wenzake wa meza kuu. Kushoto ni Mjumbe wa baraza la Utekelezaji UWT mkoa wa Dar es Salaam Elizabeth Lameck, Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Tatu Malyaga na kulia ni Mwenyekiti wa UWT Kigamboni Rukia Kamal
Wajumbe wakishangilia ukumbini
Diwani wa viti Maalum Kassidi Likacha akisalimia baada ya kutambulishwa 
Diwani wa viti maalum  Mwanakombo Mwinyimbegu kisalimia baada ya kutambulishwa ukumbini
Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam tatu Malyaga akisalimia na kutoa utambulisho
Hawa Ngh'umbi akisalimia bada ya kutambulishwa
Wajumbe wakishangilia
Katibu wa UWT Kigamboni Kimenta Mavala akikabidhi risala kwa mgeni rasmi baada ya kuisoma
Mwenyekiti wa UWT Kigamboni Rukia kamal akifungua kikao
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave (kulia na Katibu wake Tatu Malyaga wakishangilia baada ya kikao kufunguliwa. Kushoto  ni Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji UWT mkoa wa Dar es Salaam Elizabeth Lameck
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave akisalimia kabla ya kuanza kuzungumza na wajumbe kwenye kikao hicho.
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave akizungumza na wajumbe kwenye kikao hicho.
Wajumbe kwenye kikao hicho
Mjumbe akitoa hoja
Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave akizungumza na wajumbe katika kikao hicho cha kazi kilichofanyika Temeke, Dar es Salaam leo
Katibu wa UWT Wilaya ya Kigamboni Kimenta Mavala akionyesha tuzo, kabla ya kukabidhiwa kwa Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave kwa kushika nafasi hiyo
Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Temeke Rukia Kamal akikabidhi tuzo hiyo kwa Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Dorothy Kilave
Dorothy Kilave akionyesha tuzo hiyo baada ya kukabidhiwa
Dorothy Kilave akionyesha tuzo hiyo baada ya kukabidhiwa. Kushoto ni Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji UWT mkoa wa Dar es Salaam Elizabeth Lameck na Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam Tatu Malyaga
Tuzo hiyo
Diwani wa Viti Maalum CCM Mwanakombo Mwinyimbegu akimpongeza Dorothy Kilave
Mjumbe wa Baraza la Utekelezaji UWT Wilaya ya Temeke Nuru Kassian (kushoto) akiwa na Diwani wa Viti Maalum CCM Mwanakombo Mwinyimbegu mwishoni mwishoni mwa kikao hicho. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO-CCM Blog

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages