OFISA Uhusiano Mwandamizi wa Kampuni ya bia ya Serengeti(SBL), Imani Lwiga akimkabidhi mfano wa hundi ya sh. milioni 50 Katibu Mkuu wa Shirikishola Soka Tanzania (TFF), David Mwakalebela, kwa ajili ya timu ya taifa, Taifa Stars, ambayo inashuka dimbani leo kumenyana na timu ya taifa ya Somalia kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
OFISA Uhusiano Mwandamizi wa Kampuni ya bia ya Serengeti(SBL), Imani Lwiga akimkabidhi mfano wa hundi ya sh. milioni 50 Katibu Mkuu wa Shirikishola Soka Tanzania (TFF), David Mwakalebela, kwa ajili ya timu ya taifa, Taifa Stars, ambayo inashuka dimbani leo kumenyana na timu ya taifa ya Somalia kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269