Breaking News

Your Ad Spot

Jul 31, 2012

NAPE,SHIGELLA WANA PRESS FONFERENCE LEO

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye atakafanya mkutano saa 5 ASUBUHI,  katika ukumbi wa Sekretarieti, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar es Salaam, Wakati Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Martine Shigella tafanya saa 4 asubuhi, makao makuu ya UVCCM, Dar es Salaam. Taarifa zilizopo ni kwamba viongozi hawa watazungumzia mambo tofauti.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages