Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kivukoni Sharik Choughule akiwa na Balozi wa India hapa nchini Balozi Sandeep Arya, baada ya kufanya mazungumzo kuhusu maendeleo ya Kata hiyo jana. Mazungumzo hayo yalifanyika kwenye ofisi za Ubalozi huo zilizopo katika Kata hiyo ya Kivukoni, Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mwenezi wa Kata hiyo Hassan Maloto
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269