Breaking News

Your Ad Spot

Dec 29, 2009

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, WILLIAM LUKUVI AFANYA ZIARA GHAFLA SOKO LA SAMAKI FERI NA KUKUTA...

WATU wakigombea maji bombani katika soko hilo, leoWAVUVI wakimsafisha samaki aina ya Papa, katika soko hilo la samaki la Feri
MZUNGU raia wa Italia,  Ivana Maglione akipiga picha, shughuli za upaaji samaki katika soko hilo, leo.
 WAVUVI wakitia nanga katika pwani ya Feri eneo la soko hilo, leo.

SEHEMU ya soko la smaki Feri, Dar es Salaam.

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi akizungumza na mfanyabiashara ya samaki, JamilaOmari, katika soko la Feri, leo
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi akishuhudua mamalishe Mariam Hamadi akisonga ugali klwa ajili ya wateja wake katika soko hilo,leo.
MMOJA wa wafanyabiashara ya samaki wakukaangwa akiwapanga samaki hao wakati akisubiori wateja katika soko hilo, leo.(Picha zote na http://www.bashir-nkoromo.blogspot.com/

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages