Breaking News

Your Ad Spot

Jan 24, 2010

DAR LEO


WATU wakishangaa gari lenye namba T478 AYS kuacha njia na kwenda kunasa kwenye mtu ulioliokoa kupinduka, eneo la Magomeni kwa Macheni, Dar es Salaam leo
LICHA ya kwamba leoni Jumapili siku ambayo ni ya mapumziko, wengi wanalazimika kuendekeza libeneke kwa kufanya kazi ili kupata riziki, kama hawa waliokuwa wakisafirisha ndizi kwenda mjini katika badabara ya Morogoro, Dar es salaam.

LEO Diwani wa Kata ya Magomeni Dar es Salaam, Julian Bujugo aliitisha wazee wote wa Kata hiyo na kuzungumza nao kwenye ukumbi wa shule na sekondari Magomeni na baadaye kulanaye chakula naye Lunch. Pichani ni baadhi ya wazee hao ambao walikadiriwa kuwa zaidi ya 60.
================================================

1 comment:

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages