Breaking News

Your Ad Spot

Feb 8, 2010

JK AOMBOLEZA KIFO CHA MNIKULU

 
Rais Jakaya Kikwete akitoa heshima  mbele ya jeneza la aliyekuwa Mnikulu, Rajabu Kianda aliyefariki dunia jana jijini Dar es Salaam. Marehemu Kianda anatarajiwa kuzikwa kesho ( 9/2/2010), nyumbani kwao Kihurio Same Mkoa wa Kilimanjaro
RAIS Jakaya Kikwete akimfariji Khadija Kianda,  mjane wa Rajabu Kianda aliyekuwa Mnikulu ambaye alifariki dunia Jana  jijini Dar es Salaam, .Rais Kikwete alikwenda nyumbani kwa marehemu eneo la Mikocheni,  kuifariji familia ya marehemu ambaye inatarajiwa atazikwa  Kihurio wilayani  Same, Mkoani Kilimanjaro. Kulia ni Mwanahawa Samuel ambaye ni mama wa marehemu.

Mama Salma Kikwete akimfariji Khadija Kianda, mjane wa marehemu Rajabu Kianda aliyekuwa Mnikulu aliyefariki dunia jana mjini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages