Gari la kampuni COCA COLA ya jijini mwanza lenye nambari za usajili T.269 AFC Ikiwa imeanguka na shehena ya Soda katikati ya mji wa Geita,hata hivyo polisi waliwahi kufika katika eneo la tukio na hivyo kudhibiti mpango wa wananchi wa kujigawia soda zilizokuwa ndani ya gari hilo.
Mbunge wa jimbo la Nyang’hwale, James Musalika akiangalia ajali ya gari lililovunja moja ya nyumba ya mkazi wa kijiji cha Kakora wilayani Geita katika ajali hiyo zaidi ya watu watano waliokuwemo ndani ya nyumba hiyo walinusurika kufa.(Picha zote na David )
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269