Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Sheni akifungua mkutano wa siku mbili wa viongozi na Mawaziri wa Mazingira wa Nchi za Bara la Afrika ulioambatana na Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Afrika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (ICC) mjini Arusha, jana.
Makamau wa Rais akiangalia vitabu vya aina mbalimbali kuhusu mazingira kwenye baada ya kufungua mkutano huo
Makamua wa Rais akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Arusha na mawaziri wa mazingira Afrika, baada ya kufungua mkutano huo.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269