RAIS Jakaya Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapigakura kwenye kituo kipya cha kupiga kura kijijini kwake Msoga, Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani. Kushoto ni Msimamizi wa kituo hicho, Diana Frederick. Kituo cha zamani cha Rais Kikwete kilikuwa Bwilingi, Kata ya Chalinze, wilayani Bagamoyo.MSIMAMIZI wa uandikishwaji daftari la kudumu la wapigakura , Msoga Diana Frederick akiwapa vitambulisho vipya vya kupiga kura, Rais Kikwete na Mama Salma baada ya kujiandikisha kwenye daftari leo.
Your Ad Spot
Mar 4, 2010
Home
Unlabelled
RAIS KIKWETE AHAMA KITUO CHA KUPIGIA KURA, AJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA MSOGA
RAIS KIKWETE AHAMA KITUO CHA KUPIGIA KURA, AJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA MSOGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269