Kamanda hao NSSF wametoa vifaa kwa timu ngapi? maana nasikia kuna baadhi ya timu zimejitoa kutokana na kurfanyiwa mizengwe na waandaaji hao.
Bro wako wa Kitaa mdau wa Blogu hii ya Jamii- Sinza Dar es Salaam.
========
Kamanda ukweli sijajua ni timu ngapi zimepatiwa vifaa hivyo ila kwa mbaali nilishapata udaku kwamba timu moja ambayo ilikuwa bingwa mwaka jana, imefanyiwa ndivyo sivyo na huenda ikajitoa.
Lakini subiri nitakupatia mapemaaa majibu ya hoja na haja zako.
Kamanda.
==================
Kamanda, habari zilizotua bloguni hapa, zimethibitisha kuwa zilikuwa zishiriki timu 17 katika michuano hiyo, lakini sasa zimebaki 16 baada ya timu za netiboli na soka za Uhuru FC kujitoa baada ya kudai kufanyiwa hovyo na waandaaji.
Kwa mujibu wa habari hizo. Uhuru wamejitoa baada ya makiziwa wachezaji sita tu katika Netiboli na kumi wa soka!
Habari ndiyo hiyo
Kamanda
Your Ad Spot
Mar 3, 2010
Home
Unlabelled
MASHINDANO YA KOMBE LA NSSF VIPI?
MASHINDANO YA KOMBE LA NSSF VIPI?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269