ALIYEKUWA Mbunge wa Kishapu kwa tiketi ya CCM, Fred Mpendazoe akizungumza na waandishi wa habari leo katika
ukumbi wa Idara ya Habari (Maelezo), Dar es Salaam, akitangaza kuondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama Cha Jamii (CCJ). Kulia ni Ofisa Habari Mwandamizi wa Udara ya Habari (Maelezo) Sise Mwirabi na kushoto ni Katibu Mwenezi wa CCJ, Dickson Nghilily. Mpendazoe akichekelea wakati akitoka kutangaza uamuzi wake huo, katika ukumbi wa Idara ya Habari leo.
Your Ad Spot
Mar 30, 2010
Home
Unlabelled
FRED MPENDAZOE AZOLEWA NA CCJ
FRED MPENDAZOE AZOLEWA NA CCJ
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269