RAIS Jakaya Kikwete, akipanda pikipiki aliyokabidhiwa na Balozi wa China nchini, Liu Xingshen (kushoto), Ikulu, mjini Dar es Salaam, leo ambayo ni moja ya bidhaa zenye thamani ya sh. milioni 51, zikiwemo baiskeli na vyerehani, zilizotolewa msaada na nchi hiyo kusaidia sekta mbalimbali.
RAIS Jakaya Kikwete, akiangalia mmoja wa mipira aliyokabidhiwa na balozi wa China nchini, Liu Xinsheng (kushoto) katika hafla iliyofanyika jana, Ikulu, mjini Dar es Salaam. chjo
Your Ad Spot
Mar 30, 2010
Home
Unlabelled
JK AKABIDHIWA MISAADA NA WACHINA
JK AKABIDHIWA MISAADA NA WACHINA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269