Breaking News

Your Ad Spot

Mar 30, 2010

JK AKABIDHIWA MISAADA NA WACHINA

RAIS Jakaya Kikwete, akipanda pikipiki aliyokabidhiwa na Balozi wa China nchini, Liu Xingshen (kushoto), Ikulu, mjini Dar es Salaam, leo ambayo ni moja ya bidhaa zenye thamani ya sh. milioni 51, zikiwemo baiskeli na vyerehani, zilizotolewa msaada na nchi hiyo kusaidia sekta mbalimbali.
RAIS Jakaya Kikwete, akiangalia mmoja wa mipira aliyokabidhiwa na balozi wa China nchini, Liu Xinsheng (kushoto) katika hafla iliyofanyika jana, Ikulu, mjini Dar es Salaam. chjo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages